Ads

MELI MPYA YA MV MBEYA IMETIA NANGA MATEMA BEACH





Meli mpya kabisa ya MV MBEYA imetia nanga Matema Beach, Ziwa Nyasa kwa mara ya kwanza leo ikiwa katika majaribio.Meli hii imetengenezwa na kampuni ya kizalendo ya Songoro Marine Transport Ltd ya Mwanza, Ujenzi wa Meli hii ni sehemu ya ahadi mbalimbali za Rais Dkt John Magufuli



Wananchi wakiwa wamefika kushuhudia Meli mpya kabisa ya MV MBEYA imetia nanga Matema Beach, Ziwa Nyasa kwa mara ya kwanza leo ikiwa katika majaribio.Meli hii imetengenezwa na kampuni ya kizalendo ya Songoro Marine Transport Ltd ya Mwanza, Ujenzi wa Meli hii ni sehemu ya ahadi mbalimbali za Rais Dkt John 


No comments