Ads

MAFUNZO MAALUM LEO DODOMA KWA VYOMBO VYA HABARI VILIVYOALIKWA KATIKA MKUTANO MKUU WA CCM UNAOFANYIKA JULAI 11-12, 2020!






Wakati huo huo Katibu Mkuu wa CCM Dk Bashiru Ally jana katika mahojiano na Mkurugenzi Mtendaji wa Azam TV Tido Muhando aliainisha kuwa leo Julai 9, 2020, jijini Dodoma kutakuweko na  kikao cha Kamati Kuu ya NEC ya CCM kuchambua mapendekezo ya Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar ya Wana-CCM waliojitokeza kugombea Urais wa Zanzibar! Baada ya Uchambuzi huo Kamati Kuu itapeleka mapendekezo yake kwa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM(NEC) kwa uamuzi wa mwisho!















No comments