Ads

MATUKIO MUHIMU TRL KATIKA PICHA KWA MWAKA 2016 - 8

 ZIARA YA WAZIRI MKUU KATIKA KIWANDA CHA KILUWA STEEL WORKS  GROUP CHA MLANDIZI KUKAGUA MIUNDO MBINU YA RELI ILIYOJENGWA NDANI YA KIWANDA 

NOVEMBA 19, 2016 KATIKA PICHA..


Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa TRL Nd Masanja Kadogosa mara tu alivyowasili katika kikwanda cha Chuma cha Kiluwa Steel Group Mlandizi mkoani Pwani.

Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa akiwa pamoja na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa na Mbunge wa Kibaha Mhe ........wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji wa TRL Nd Masanja Kadogosa akitoa taarifa yake kuhusu ujenzi wa miundo mbinu ya reli ndani ya kiwanda cha Kiluwa Steel Works.

Mkurugenzi Mtendaji wa TRL Nd Masanja Kadogosa akitoa taarifa ya TRL mbele ya Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa

Mkurugenzi Mtendaji wa TRL Nd Masanja Kadogosa akitoa taarifa ya TRL mbele ya Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa na Wananchi wa Mlandizi.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akitoa maelezo ya Wizara mbele ya Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa na Wananchi wa Mlandizi.

Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa akiwahutubia  Wananchi wa Mlandizi baada ya kukagua kiwanda cha Kiluwa Steel Works.

Treni ya TRL ikiwa tayari ndani ya Kiwanda cha Kiluwa Steel Works Mlandizi
Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa akiongozana na viongozi wa Wizara Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano na Mkoa wa Pwani kukagua miundo mbinu ya reli kiwandani Kiluwa Steel Works Mlandizi Novemba 19, 2016.

No comments